CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA LINDI MWAMBAO LTD

Bei za Mazao
KOROSHO Bei ya Juu 2500 Bei ya Chini 1900 TZS/kg
MBAAZI Bei ya Juu 1500 Bei ya Chini 1000 TZS/kg
UFUTA Bei ya Juu 3500 Bei ya Chini 2500 TZS/kg
Uongozi wa Juu
Ismail M. Nalinga
Ismail M. Nalinga
Mwenyekiti
Nurdin S. Swallah
Nurdin S. Swallah
Meneja Mkuu
LINDI MWAMBAO
Habari

Matukio Katika Picha: Uzinduzi wa Maonesho ya Nanenane Kanda ya Kusini - Viwanja vya Ngongo

05 Ago 2026

Lindi Mwambao Cooperative Union (LMCU) imeshiriki kikamilifu katika Uzinduzi wa Maonesho ya Nanenane Kanda ya Kusini, yaliyofanyika katika Viwanja vya Ngongo. Uzinduzi huu umeambatana na ushiriki wa viongozi wa serikali, wadau wa sekta ya kilimo, na wanachama wa vyama vya ushirika kutoka mikoa ya Kanda ya Kusini.

LMCU inaendelea kushiriki matukio ya kitaifa yanayolenga kuinua sekta ya kilimo na ushirika nchini, ikiwemo kuonesha mchango wa zao la korosho katika uchumi wa wanachama na taifa kwa ujumla.

Nanenane 2026Nanenane 2026Nanenane 2026Nanenane 2026Nanenane 2026Nanenane 2026Nanenane 2026Nanenane 2026Nanenane 2026

← Rudi kwenye Blogu / Habari