CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA LINDI MWAMBAO LTD

TOVUTI MPYA YA LINDI MWAMBAO SASA IPO MTANDAONI
NEWS JISAJILI KUPOKEA TAARIFA MPYA...
Bei za Mazao
KOROSHO Bei ya Juu 2500 Bei ya Chini 1900 TZS/kg
MBAAZI Bei ya Juu 1500 Bei ya Chini 1000 TZS/kg
UFUTA Bei ya Juu 3500 Bei ya Chini 2500 TZS/kg
Uongozi wa Juu
Ismail M. Nalinga
Ismail M. Nalinga
Mwenyekiti
Nurdin S. Swallah
Nurdin S. Swallah
Meneja Mkuu
LMCU Yashiriki Uzinduzi wa Maonesho ya Nanenane Kanda ya Kusini - Viwanja vya Ngongo
Ofisi ya Chama Kikuu cha Ushirika Lindi Mwambao Ltd
LMCU Yashiriki Uzinduzi wa Maonesho ya Nanenane Kanda ya Kusini - Viwanja vya Ngongo

MATUKIO KATIKA PICHA: UZINDUZI WA MAONESHO YA NANENANE KANDA YA KUSINI - VIWANJA VYA NGONGO

LMCU imeshiriki Uzinduzi wa Maonesho ya Nanenane Kanda ya Kusini yaliyofanyika Viwanja vya Ngongo, ikiwa ni sehemu ya kuenzi mchango wa kilimo na ushirika nchini. Soma Zaidi →

Mazao Yetu ya Biashara

Chama kinaratibu mazao makuu ya biashara ya Wanachama.

Ufuta

Ufuta

Zao muhimu la biashara linalozalishwa na wanachama wengi wa Lindi Mwambao, hutumika kutengeneza mafuta ya kula na vyakula mbalimbali.

Korosho

Korosho

Zao kuu la biashara la Mkoa wa Lindi, linalochangia kwa kiasi kikubwa mapato ya wakulima na Chama.

Mbaazi

Mbaazi

Zao la jamii ya mikunde linalolimwa kwa wingi na wanachama, lenye soko zuri la ndani na nje ya nchi.

Kunde

Kunde

Zao la chakula na biashara linalostawi vizuri katika hali ya hewa ya Pwani, lenye virutubisho vingi.

Karanga

Karanga

Zao la mafuta na chakula linalozalishwa na wanachama, lenye mahitaji makubwa sokoni.

Miradi ya Chama

Baadhi ya miradi mikuu inayotekelezwa na Lindi Mwambao.

Ghala la Lindi Mwambao – Kilwa DC

Ghala la Lindi Mwambao – Kilwa DC

Ghala lenye uwezo wa kuhifadhi mazao tani 5,000.

Shamba la Mikorosho – Narwadi, Mtama

Shamba la Mikorosho – Narwadi, Mtama

Mradi wa shamba la mikorosho la Chama Kikuu cha Ushirika Lindi Mwambao lililopo Narwadi, Halmashauri ya Mtama.

Malori ya Usafirishaji

Malori ya Usafirishaji

Mradi wa Malori matatu ya usafirishaji mizigo na mazao ya wakulima.