CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA LINDI MWAMBAO LTD

HUDUMA ZINAZOTOLEWA NA LINDI MWAMBAO.
Bei za Mazao
KOROSHO Bei ya Juu 2500 Bei ya Chini 1900 TZS/kg
MBAAZI Bei ya Juu 1500 Bei ya Chini 1000 TZS/kg
UFUTA Bei ya Juu 3500 Bei ya Chini 2500 TZS/kg
Uongozi wa Juu
Ismail M. Nalinga
Ismail M. Nalinga
Mwenyekiti
Nurdin S. Swallah
Nurdin S. Swallah
Meneja Mkuu
Huduma Zetu — Picha
Huduma Zetu
PEMBEJEO NA UGANI

UPATIKANAJI WA PEMBEJEO NA HUDUMA ZA UGANI

Chama huratibu upatikanaji wa pembejeo za kilimo (viuatilifu, vifungashio, mizani za kidijitali) na kutoa huduma za ugani kwa Wanachama na wakulima kupitia AMCOS.

USAFIRISHAJI NA UHIFADHI

USAFIRISHAJI NA UHIFADHI WA MAZAO

Chama kinasaidia usafirishaji na uhifadhi salama wa mazao ya biashara ya Wanachama — korosho, ufuta na mbaazi — kwenye maghala yake.

MASOKO NA MAUZO

USIMAMIZI WA MASOKO NA MAUZO

Chama huratibu uuzaji wa mazao ya Wanachama kwenye masoko yenye uhakika na kusimamia malipo kwa wakulima kwa wakati baada ya minada.

HUDUMA ZA KIFEDHA

HUDUMA ZA KIFEDHA

Kupitia SACCOS ya Wanachama na ushirikiano na mabenki, Chama kinawezesha upatikanaji wa huduma za kifedha na mikopo yenye masharti nafuu kwa Wanachama na wakulima.

ELIMU NA MAFUNZO

ELIMU NA MAFUNZO

Chama hutoa elimu na mafunzo kwa viongozi na watendaji wa AMCOS pamoja na wakulima ili kuboresha uzalishaji, usimamizi na ujasiriamali.

HUDUMA ZA KIJAMII

HUDUMA ZA KIJAMII

Chama kinatambua umuhimu wa kuchangia maendeleo ya jamii, ikiwemo kuwezesha huduma za afya kwa wakulima na kutenga sehemu ya mapato kwa shughuli za kijamii katika eneo lake la kazi.